Maofisa hao, mmoja akiwa na cheo cha Mrakibu wa Polisi
(ASP) na mwingine Koplo, walikamatwa na magari matatu ya wizi ambayo
yalisafirishwa hadi jijini Dar es Salaam
Tuesday, October 25, 2016
Tuesday, October 18, 2016
Siku kama ya leo tarehe 18 Oktoba, 2007 mwanamuziki mashuhuri duniani Lucky Dube alifariki duniahttps://www.facebook.com/MwananchiNews/photos/pcb.10154631864834339/10154631862874339/?type=3
Wednesday, October 12, 2016
Prof anapokubali kuwa mshumaa
Jeshi la Polisi limepiga marufuku mikutano ya hadhara lakini juzi Lipumba kafanya mkutano wa hadhara mjini Lindi na Polisi wameulinda na kuhakikisha unafanyika kwa amani. Nani bado hamjui aliyemtuma Lipumba? Nani bado hajui dhamiri yake? Nani bado anaamini Lipumba ni mpinzani??
Subscribe to:
Posts (Atom)