Wednesday, October 12, 2016

Prof anapokubali kuwa mshumaa



Jeshi la Polisi limepiga marufuku mikutano ya hadhara lakini juzi Lipumba kafanya mkutano wa hadhara mjini Lindi na Polisi wameulinda na kuhakikisha unafanyika kwa amani. Nani bado hamjui aliyemtuma Lipumba? Nani bado hajui dhamiri yake? Nani bado anaamini Lipumba ni mpinzani??


No comments:

Post a Comment