Wakazi wa mji wa Himo wilayani Moshi, wamehoji hatua ya polisi
kutowawajibisha maofisa wake wawili wanaohusishwa na mtandao wa wizi wa
magari.
Maofisa hao, mmoja akiwa na cheo cha Mrakibu wa Polisi
(ASP) na mwingine Koplo, walikamatwa na magari matatu ya wizi ambayo
yalisafirishwa hadi jijini Dar es Salaam
hakuna mtu aliye juu ya sheria
ReplyDelete