Monday, February 13, 2017

NJAA & UKAME=KIFO

Wakati Watanzania wakiwa wameelekeza hisia zao katika mapambano dhidi ya madawa ya Kulevya kuna matatizo kadhaa ambayo yamewekwa pembeni na kuacha kujadiliwa na kushughulikiwa. 
Mojawapo ya masuala hayo ni Njaa ambayo katika kipindi cha miezi kadhaa imebainika kwamba kuna tatizo kubwa la ukosefu wa chakula katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki kutokana na ukame uliolikumba eneo zima la ukanda huo ikiwa ni pamoja na Kenya, Uganda na Somalia.
 

No comments:

Post a Comment