wafuasi wa Gwajima wafurika kituo kiukuu cha polisi
Wafuasi na waumini wa kanisa la ufufuo na Uzima wamemiminika maelefu kwa mamia wanaimba na kusifu mbele ya kituo kikuu cha polisi Dar ambao kiongo wa kiroho wa kanisa hilo Mh Gwajima anahojiwa kwa madai ya kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.
![]() |
wafasi wa Mchungaji Joephati Gwajima wakiwa katika viwanja vya polisi |
No comments:
Post a Comment