Thursday, December 1, 2016

YOWERI K. MUSEVEN HAS MOCKED HUMANITY

Yoweri Museveni has mocked humanity the manner in which history has never written before. We beseech the rest of the world to beware of nations run from the bedroom of a dictator.
 

Mwishoni mwa wiki iliyopita, watu zaidi ya 80 walipoteza maisha baada ya makabiliano kati ya walinzi wa Mfalme wa eneo la Rwenzururu Charles Mumbere na maafisa wa usalama.Je, hili ni tatizo la kisiasa ua kiusalama ? Victor Abuso anachambua suala hili kwa kina na Kenneth Lukwago akiwa jijini Uingereza na Brian Wanyama Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kibabii mjini Bungoma nchini Kenya.

 




picha za tukio la mauaji nchini Uganda
 

No comments:

Post a Comment