Wednesday, November 30, 2016

MSIBA MZITO KATIKA MPIRA WA MIGUU DUNIANI

ForçaChapecoense

Uongozi wa Naipenda YANGA unajumuika na wapenda mpira wa miguu duniani kote kutoa simanzi zetu pamoja na mkono wa pole kwa klabu ya Associação Chapecoense de Futebol ya nchini Brazil ambayo imepoteza viongozi wa klabu, benchi zima la ufundi na wachezaji wote 22 (wamepona wawili tu, ambao wako Hospital) waliopata ajali ya ndege nchini Colombia.


*** HISTORIA FUPI YA CHAPECOENSE ***

Ikiwa imeanzishwa mwaka 1973, ilishiriki mara ya kwanza Ligi Kuu ya Brazil, maarufu kama Serie A mwaka 2014, ikiwa imepanda daraja mfululizo kuanzia Serie D mwaka 2009.

Mwaka huu ilifanikiwa kupata uwakilishi kucheza michuano ya Copa Sudamericana (sawa na CAF Confederation Cup ya Afrika au UEFA Europa League ya Ulaya) na ikafanikiwa kutinga fainali kwa mara ya kwanza katika historia yao.

Ikiwa njiani kuelekea nchini Colombia kucheza mechi ya kwanza ya fainali dhidi ya Atletico Nacional ya huko , ndege iliyowabeba yao ilipata ajali kutokana na hitilafu ya umeme na kuanguka karibu na mji wa Medellin, Colombia.

*** MSAADA KWA CHAPECOENSE ***

Klabu zote kubwa nchini Brazil, zimetoa mapendekezo yao kwa Shilikisho la Soka nchini Brazil ikiwa ni jitihada zao kuisaidia timu ya Chapecoense kujijenga upya wakati huu ambapo hawana wachezaji karibu wote, pamoja na benchi zima la ufundi.
Klabu hizo ambazo ni Corinthians, Santos, Sao Paulo na mabingwa wapya Palmeiras, wamewasilisha mapendekezo yafuatayo . . . .
1. Kuipa kinga maalum timu hiyo isishuke daraja kwa misimu mitatu mfululizo kuanzia sasa mpaka itakapojijenga tena upya

2. Kuruhusu klabu yoyote kutoa wachezaji BURE kabisa kwa msimu ujao wa 2017 ili waweze kucheza mechi zao kwa ushindani
- Klabu hizo zimesema zipo tayari kutoa wachezaji wake muhimu wakachezee Chape.

Klabu ya Atletico Nacional ambayo ilikuwa icheze nayo fainali, imeiomba shirikisho la soka la Amerika ya Kusini kuitangaza Chapecoense kama Mabingwa wapya wa Copa Sudamericana 2016, kwa heshima yao kipindi hiki kigumu kwao.

Klabu ya PSG ya Ufaransa tayari imetangaza kutoa Pauni Milioni 40 kusaidia kuijenga upya kikosi cha Chapecoense.


picha zote tatu ni mabaki ya ndege iliyopataajali na kuuwa zaidi ya watu 72
 

Tuesday, November 29, 2016

'Tafuna pesa zao Bastian'

Bastian Schweinsteiger ameambiwa kwamba awaadhibu Manchester United kwa kuutumikia mkataba wake mpaka mwisho wa siku yake.

Kiungo huyo mshindi wa kombe la Dunia amekuwa kwenye wakati mgumu kwenye kikosi cha Jose Mourinho mpaka kushindwa kujumuishwa kwenye kikosi cha ligi ya Europa.

Hivi karibu Mourinho alimjumuisha Bastian kwenye kikosi cha kwanza Man United lakini bado hajacheza hata mechi moja kuelekea miezi yake 18 ya mwisho wa mkataba wake.

Sasa, Rais wake wa zamani katika klabu ya Bayern Munich Uli Hoeness amemshauri kwamba achukue kila salio la pesa kutoka Man United kabla ya kuachana na soka .

"kama ningekuwa mimi,ningewakomesha watu wa Manchester wanilipe mpaka mwisho wa mkataba wangu"

"Hicho ndio klabu kama hii inastahili kufanyiwa kwa kile wanachomfanyia. Lazima waadhibiwe."

Mapema mwaka huu Schweinsteiger alisema kwamba Manchester United itakuwa klabu yake ya mwisho barani Ulaya na kuibua tetesi kwamba huenda akahamia Major League Soccer. Lakini Hoeness alisema," kwa nilichokisikia, Basti anaelekea kuachana na soka, namjua vizuri sana nina mashaka sana kama bado ana moto wa kukabiliana na changamoto nyingine tena 
 
 

WIZARA YA ELIMU YAKANUSHA MATAMKO YA WAZIRI NDALICHAKO.


Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekanusha taarifa zilizoenea ya kuwa, Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako amezuia wanafunzi wenye Stashahada (Diploma) kujiunga na masomo ya Shahada (Degree) katika vyuo vikuu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Naibu Waziri wa Elimu, Mhandisi Stella Manyanya amesema kuwa, katazo lililotolewa na Waziri Prof. Ndalichako siku ya mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania linawahusi wale tu wanaosoma Foundation Courses ili kuweza kujipatia sifa za kujiunga na chuo kikuu.
Taarifa imeeleza kuwa awali wanafunzi ambao walifeli kidato cha nne walikuwa wakisoma Foundation Courses katika vyuo mbalimbali na kisha kujipatia sifa za kujiunga na chuo kikuu kitu ambacho waziri alisema sasa hakitakuwepo tena.

Utaratibu huu ulikuwa ukitumika zaidi katika Chuo Kikuu Huria ambapo wanafunzi walikuwa wakisoma programu maalum zilizokuwa zikiwapa sifa ya kusoma Shahada.

“Kilichojitokeza ni kuna taarifa zinasambaa kwamba kuanzia sasa wanafunzi watakaoenda chuo kikuu ni wale ambao tu wamepitia form six sasa hiyo taarifa imeleta presha kubwa, nimekuja hapa sio kukataa tamko hilo hapana nimekuja kulitolea ufafanuzi.”

– Naibu Waziri Eng. Stella Manyanya
 
Huu mwenendo wa kulopoka na bila kua na mpangilio wa kina wa agenda husika, unaigharimu wizara hii na zingine, kila wakati kujitokeza kufafanua anachoongea boss wao. Kwani wanapokua wanatoa matamko mnakua hamjaongea kwa makubaliano kama wizara au kuna nini? Mjipange aisee msituone kama vile hatujui kiswahili ndio maana mnasubiria aongee alafu mje muwe wakalimani.
 
 

Kuhusu kesi ya Lema

Anaandika #Wakili Msomi Peter Kibatala

Tulikubaliana Mawakili wenzangu wa case ya Godbless Lema kuto-post chochote kuhusu case ya Lema mpaka siku Lema anatoka remand; lakini baada ya kuona upotoshwaji na sintofahamu unaofanyika/iliyotokea mitandaoni kuhusu case hii, tumeona ni vyema tukatoa ufafanuzi.

Kama tulivyosema awali; Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha ilimpatia dhamana Lema mnamo tarehe 11 November. Mara baada ya Mahakama kutoa dhamana, Serikali ikatoa taarifa ya kusudio la kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo. Tafsiri yao ya sheria husika ni kwamba baada ya taarifa hiyo ya kusudio hilo, Mahakama haina mamlaka ya kuendelea kuweka masharti ya dhamana mpaka rufaa ya serikali itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.
Mahakama ikakubaliana na hoja hiyo na kukata kuweka masharti ya dhamana.

Sisi hatukuridhishwa, na tukaandika barua kwa Judge Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha ili Mahakama Kuu iitishe Majalada ya case husika na kujiridisha na uhalali wa uamuzi huo. Tulikuwa na sababu za kisheria za hatua hiyo, ikiwemo maoni yetu kwamba uamuzi ule ulikuwa ni mdogo (interlocutory) na hauwezi kukatiwa rufaa au kuombewa marejeo. Mahakama Kuu kwa mamlaka yake ya usimamizi wa Mahakama za chini yake ikatuita kuelezea tatizo.

Kwa bahati mbaya serikali ikawasilisha mapingamizi wakisema tulipaswa kukata rufaa badala ya kuomba Mahakama Kuu iingilie kati kwa mamlaka yake ya usimamizi. Sisi tukasisitiza mamlaka ya usimamizi wa Mahakama Kuu ni kubwa kuliko haki ya kukata rufaa.

Mahakama Kuu mnamo 22/11/2016 ikaelekeza tukate rufaa pamoja na kwamba tayari ilishatuita yenyewe.

Iwe iwavyo, tukapeleka Mahakamani notisi ya kusudio la kukata rufaa. Tukapeleka pia hati ya rufaa.

Leo asubuhi wakati tukijiandaa na usikilizwaji wa Rufaa, serikali ikaleta pingamizi kwamba hatujakidhi takwa la kutoa notisi kabla ya rufaa. Pingamizi lazima lisikilizwe kwanza kwa mujibu wa sheria; vyovyote litakavyomriwa na Mahakama.

Mahakama imeelekeza serikali kuwasilisha hoja zake za maandishi mpaka tarehe 30 November saa 2 asubuhi. Sisi tutajibu siku hiyo hiyo saa 6 mchana, serikali itajibu tena saa 9 alasiri ya siku hiyo hiyo ili uamuzi utolewe tarehe 2 December saa 3 asubuhi. Kisha kutegemea na uamuzi, tutasikiliza rufaa yetu.

Kama tulivyosema awali; michakato ya kisheria huwa haina njia ya mkato. Kwa mfano, mtu akileta pingamizi hakuna namna zaidi ya kulisikiliza kabla ya case/ maombi ya msingi.

Bahati mbaya kuna upotoshwaji unaotokana na baadhi kutaofahamu hasa nini kinatokea mahakamani; kwa mfano, taarifa kwamba leo (28/11/2016) ilikuwa Lema apewe dhamana SI SAHIHI. Leo ilikuwa tusikilizwe rufaa yetu ili kama ilikubalika, Mahakama Kuu iamuru Mahakama ya Hakimu Mkazi au yenyewe itoe dhamana kwa Lema.

Kwa hiyo: tutajadili pingamizi la Serikali na kutegemea na maamuzi ya Mahakama Kuu hapo Ijumaa 2/12/2016, tutasikiliza rufaa ya Lema. Mahakama Kuu inajitahidi sana kushughulikia suala hili kwa haraka kama tulivyoomba kwa hati ya uharaka.

Lema yuko imara kwa kuwa, tofauti na baadhi yetu, anafahamu 100% nini kinaendelea. Anafahamu sacrifices tunazozifanya kwa niaba yake ili hatimaye apate dhamana.

Ametuagiza kusimama imara bila kutetereka kwa kuwa ametuchagua sisi tumpiganie.

Monday, November 28, 2016

hawa maprof wetu now days
https://www.facebook.com/100008744220984/videos/1625207681114024/ 

WANAFUNZI IFM WAVULIWA MAJOHO KATIKATI YA MAHAFALI.


Na Jonas Mushi wa gazeti la Mtanzania.

CHUO cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kimeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, kwa kuwazuia wahitimu wa ngazi ya cheti na stashahada kuvaa majoho na kofia wakati wa mahafali yao.

Kitendo hicho kilitokea katika Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam juzi baada ya mratibu wa mahafali ya 42 ya IFM, Dk. Godwin Kaganda, kutangaza utaratibu huo licha ya wahitimu wao kuvaa majoho yao.
Dk.Kaganda alisema utaratibu huo ni kwa mujibu ya miongozo iliyotolewa na Serikali kuhusu uvaaji wa majoho, ambao unataka yavaliwe na wahitimu wa kuanzia ngazi ya shahada na kuendelea.

“Wahitimu wote wa ngazi ya cheti na stashahada hamtovaa majoho wala kofia pamoja na kwamba mlishapewa awali, tunaomba radhi kwa sababu ndiyo miongozo tuliyopewa,” alisema Dk. Kaganda, (kisha wanafunzi hao kuvua majoho hayo kila mmoja kwa muda wake).

Sunday, November 27, 2016



DEATH OF A REVOLUTIONARY

 Fidel Castro : August 13, 1926 – November 25, 2016 : Death of a Revolutionary
I'm sure most are aware of the sad passing of Cuban Revolutionary
Fidel Alejandro Castro Ruz on November 25. He governed Cuba as Prime Minister from 1959 to 1976 and then as President from 1976 to 2008 and under his administration, Cuba became a one-party socialist state; industry and business were nationalized, and state socialist reforms implemented throughout society.

Born in Birán as the son of a wealthy Spanish farmer, Castro adopted leftist anti-imperialist politics while studying law at the University of Havana. After participating in rebellions against right-wing governments in the Dominican Republic and Colombia, his first attempt to overthrow then Cuban President Fulgencio Batista, by launching an attack on the Moncada Barracks in 1953 failed, landing him in Prison.

After a year's imprisonment, he traveled to Mexico where he formed a revolutionary group, the 26th of July Movement, with his brother Raúl Castro and Che Guevara. Returning to Cuba, Castro took a key role in the Cuban Revolution by leading the Movement in a guerrilla war against Batista's forces from the Sierra Maestra. After Batista's overthrow in 1959, Castro assumed military and political power as Cuba's Prime Minister.

The United States opposed Castro's government, and unsuccessfully attempted to remove him by assassination, economic blockade, and counter-revolution, including the Bay of Pigs Invasion of 1961. Countering these threats, Castro formed an alliance with the Soviet Union. In response to U.S. nuclear missiles in Turkey, and perceived U.S. threats against Cuba, Castro allowed the Soviets to place nuclear weapons on Cuba, sparking the Cuban Missile Crisis—a defining incident of the Cold War—in 1962.

His role in the 1962 Cuban Missile Crisis also ensured that his name was recorded in the annals of Human History.

All in all, Castro cast a polarising figure throughout his life, but those of us in the 'Third World' owe him and the people of Cuba an immeasurable debt by virtue of Castro's willingness to lend Military and financial assistance to the African Liberation Movements across the Continent which led to the end of Colonial Rule. For this alone, we will always honour Fidel since he came to our aid in the hour of our greatest need, when no-one else would help our cause.

As a survivor of covert CIA Cold War operations to depose him such as the failed 'Bay of Pigs Invasion', Castro's leadership was marked by an iron-clad resolve. His Patriotism was best exemplified by his spontaneous fiery speeches against the US & its allies. During these speeches, Castro would literally hold Cubans in a trance as he expressed condemnation at what he rightly believed were ceaseless attempts by the US to depose him, and restore the Country to its former Slave status under the Batsista regime.

He also survived over 600 ingenious assassination attempts including one involvling a plan to poison his Cigars. Within Cuba itself, he was also a polarising figure with some believing that his hold on power had lasted too long, whilst remaining a hero to others.
In the end, I believe we can confidently state that whilst Castro certainly had his flaws, he nevertheless lived out his life to its fullest purpose, and that along the way his path coincided with ours.....We are eternally grateful for that.

Check out the links to the tribute articles below from the New York Times and Al Jazeera which clearly reveal the extent to which Castro even in death continues to polarise the World. We've also added the link to the feature we did recently on the Cuban Missile Crisis as well as the failed plots to assassinate him.

We top it off with 2 of the best Castro documentaries I had the pleasure of watching earlier on in the year...One!
#RIPFidel
New York Times Article: http://www.nytimes.com/…/w…/americas/fidel-castro-dies.html…
Al Jazeera Article: http://www.aljazeera.com/…/cuba-leader-fidel-castro-dead-90…
Our Cuban Missile Crisis Piece: https://www.facebook.com/permalink.php?story_fbid=654567434711285&id=269167643251268&substory_index=0

WATUMISHI WALIOSOMA VYUO VIKUU BILA SIFA KUFUKUZWA KAZI.

Baada ya matamko kadhaa kadhaa ya serikali kuhusu Sekta ya Elimu nchini hatimaye leo limeibuka jingine la kutimua watumishi wote wa umma waliojiunga na vyuo vikuu na kutunukiwa "degree" bila kuwa na sifa.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Elimu Prof.Joyce Ndalichako wakati akifungua maonesho ya vyuo vya elimu ya juu yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo vikuu nchini (TCU) yanayofanyika viwanja vya Karimjee, jijini Dar. Maonesho hayo yanashirikisha vyuo 61 ambapo 12 kati ya hivyo ni kutoka nje ya nchi.
Katika taarifa yake Ndalichako amesema Wizara yake inawasiliana na idara ya Utumishi ili kuwabaini watumishi wote waliojiunga vyuo vikuu bila sifa na wafukuzwe kazi. "Kama wewe ni mfanyakazi uliyesoma moja ya vyuo vikuu ukafaulu lakini hukuwa na sifa ya kujiunga na chuo kikuu, tutakunyofoa hukohuko kwenye ajira yako" Alisema Ndalichako.

Kufuatia agizo hilo la Ndalichako, watumishi wote waliosoma vyuo vikuu kwa kupitia foundation courses kama Pre Entry/Remidial/Certificates, etc,wataondolewa kazini. Ndalichako amesema Foundation course haimuongezei mtu sifa ya kusoma degree. Amesema kuwa kama mtu hakupata points za kumuwezesha kujiunga chuo kikuu hata asome foundation course bado hatapata sifa, namna pekee ya kupata sifa ni kurudia mtihani wa kidato cha sita.

Agizo hilo pia litawagusa watumishi waliojiunga na elimu ya juu kwa ufaulu linganishi (equivalent pass) ambapo kwa wale waliotoka diploma na wakasoma degree bila kufikisha GPA iliyowekwa na NACTE watatimuliwa. Pia waliotoka kidato cha sita na kupata nafasi vyuo vikuu moja kwa moja lakini hawakufikisha "cut off points" zilizowekwa na TCU wataondolewa katika ajira zao.
Prof.Ndalichako amesema zoezi hilo litaanza baada ya kumaliza zoezi la uhakiki wa sifa kwa wanafunzi wanaopata mikopo. "Tukimaliza hawa wanaopata mikopo, tutahamia wasiopata mikopo kuona kama wana sifa za kusoma vyuo vikuu, baadae kwa wafanyakazi. Hata kama hukupata mkopo, lakini ulisoma chuo kikuu bila sifa hauko salama" Alisisitiza Ndalichako.

MARUFUKU WALIOSOMA DIPLOMA KUSOMA DEGREE


Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Pro.Joyce Ndalichako amepiga marufuku wanafunzi kujiunga na masomo ya Shahada (degree) bila kupita kidato cha sita. Marufuku hiyo itaanza rasmi katika mwaka ujao wa masomo. Prof.Ndalichako emesema mfumo wa elimu huria umechangia kuzalisha wasomi butu kwa kupokea wanafunzi dhaifu kitaaluma.

Ndalichako amesema wanafunzi wanaofeli kidato cha nne na kwenda kusoma certificate na baadae diploma ili wajiunge vyuo vikuu hawataruhusiwa kujiunga na masomo ya shahada (degree) kama hawajarudia (reseat) masomo yao na kupata alama za kwenda kidato cha tano, na wafanye mitihani ya kidato cha sita na kufaulu ndipo wajiunge vyuo vikuu.

Katika utaratibu huo, wanafunzi wa kidato cha nne watakaoruhusiwa kusoma shahada (degree) bila kupita kidato cha 5 na 6 ni wale waliofaulu kidato cha 4 na wakachaguliwa kwenda kusoma diploma katika mambo kama uganga (clinical medicine), ufundi (technical education), kilimo (agriculture) etc. Lakini sharti wawe wamefaulu kidato cha 4na kuchaguliwa kusoma vyuo vya kati.

Lakini wale wanaokosa "credit" za kuendelea form five na kuamua kwenda certificate mwisho wao utakuwa diploma, na diploma zao hazitaruhusiwa kutumika kama equivalent pass ya kujiunga chuo kukuu hadi watakaporeseat. Diploma watakaoruhusiwa kusoma degree ni waliopita form six, au waliofika form four wakafaulu na kuchaguliwa kwenda vyuo vya kati.

Kuhusu "foundation courses" kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioshindwa kupata sifa za kusoma degree, Ndalichako amesema Foundation course haimuongezei mtu sifa. "Kama mtu amemaliza kidato cha 6 akashindwa kufikisha "points" za kujiunga chuo kikuu, asidahiliwe kwa kusoma foundatiom course. Anapaswa kurudia mtihani wa kidato cha 6 kwa sababu baraza la mitihani linatoa fursa ya kurudia mara nyingi iwezekanavyo. Foundation course haimuongezei mtu sifa kama hana sifa zinazotakiwa kitaaluma" Amesisitiza Ndalichako
 

Saturday, November 26, 2016

KATUNIKA

 



Watu 80 wauawa kwenye mlipuko wa kujitoa muhanga nchini Iraq


Shambulizi la kujitoa muhanga kwa mlipuko wa lori la mafuta lililotegwa mabomu lilitokea jana katika kituo cha mafuta mkoani Babil nchini Iraq, na kusababisha vifo vya mahujaji 80 wa Shia na wengine 31 kujeruhiwa.
Shambulizi lilitokea wakati mahujaji hao wakirudi nyumbani kwa mabasi kutoka mji wa Karbala baada ya shughuli ya kidini. Wengi wa waliouawa ni wairan na wapakistani. Kundi la IS limetangaza kuhusika na shambulizi hilo.

Serikali za Iran na Iraq zimelaani vikali shambulizi hilo. Msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa Iran Bw. Bahram Qasema amesema kitendo hicho kikatili cha IS ni cha kulipiza kisasi, kutokana na kuendelea kushindwa kwa mfululizo katika mapambano.
KARIBU DAR ES SALAAM aka DSM



R.I.P FIDEL CASTRO


R.I.P FIDEL CASTRO

Rais wa zamani wa Cuba na kiongozi wa chama cha Kikomunisti Fidel Castro Ruz amefariki dunia akiwa na miaka 90.

Kupitia runinga Rais wa sasa wa nchi hiyo ambaye pia ni mdogo wake Raul Castro Ruz amethibitisha kifo cha kaka yake.

The late Fidel Castro Ruz

MATUMIZI YA SADAKA ZENU

Wachungaji Uchwara! Takribani magazeti yote ya leo Yameamka na Lusekelo " Mzee wa Upako" juu ya kukamatwa na jeshi la polisi. Hiki ni kituko alichokifanya na kupelekea kukamatwa kwake. Aliziba njia kwa kupaki gari barabarani na kuwatolea maneno machafu majirani( ulevi noma)
https://www.facebook.com/100008744220984/videos/1623749974593128/

Wednesday, November 23, 2016


THE DEADLIEST SNAKE ON THE PLANET!

Anaitwa Mamba mweusi wa Africa
The African Black Mamba!
Anapatikana katika Bara la Africa tuu...
Ndie nyoka hatari kabisa! Anatoa sumu aina mbili na zote ni noooma! Anatoa sumu inayojulikana kama "Neurotoxin hii huathiri mfumo wa neva
Napia anatoa sumu nyingine aina ya Cardiotoxin hii hushambulia mfumo wa moyo.... Nyoka huyu akikuuma unaweza kufa ndani ya dakika 20!

Black Mamba ninyoka mkorofi katili anasumu kali, anasifa ya urefu kama uavyomuona anafika hadi miguu 14 kwa hesabu za kiswahili! Ye huwa hana mwili mkubwa kama kina Python(Chatu) Mungu ni fundi sana huwa hakosei! Huyu nyoka ana roho mbaya sana kwanza amejaaliwa mbio kuliko nyoka wote! Ukikutana nae kuna ishara kuu mbili atakuonyesha kuwa Mimi African Black Mamba...Nyoka niliye jaaliwa sumu kuliko nyoka wote! 
Ulaya hayupo huyu lakini Wazungu wanamtambua vema wakotaka kuja Afrika kuna viumbe kwanza wanaambiwa mkifika huko mnapaswa kuchukua tahadhari ya hali ya juu na viumbe hivi hatari.. Ktk list huyu nae yumo! So ukipata bahati yakukutana nae kwanza atakutisha! Ata achama kinywa ama mdomo wake wenye rangi nyeusi kwa ndani! Kinywa chake ni cheusi kwa ndani na ndio kimefanya aitwe Black Mamba!
 Pili utamskia anatoa sauiti kama msela anaita demu! Au kama tairi linalotoa upepo...Tatu utamuona anatanua shingo yake japo sio kama ya Cobra!!! Hapo ujue uko mbele ya nyoka hatari kabisa! Uzidishe maombi! Vitu viwili usijethubutu kuvifanya! Moja... Uskimbie.. Maana huyu nyoka anambio zaidi ya Husein Bolt!
 Mamba anakimbia Maili 12 kwa saa... Na akikukimbiza hakubali hadi akugonge sehemu ya mwili wako.. Ye ardhini huwa anateleza! Na ukimkimbia ni lazima tuu atakuunganishia! Na hatakukosa! Pili kuna wale watu akiona tu nyoka ye anakimbilia fimbo au jiwe... Siku ukutana na nyoka huyu jua umekwisha! Wataalam wanakwambia nyoka huyu hapigwi! Kwani hata hilo jiwe huenda usiwahi kulirusha au mfe wote!
 Black Mamba anasifika kwa Show za kikatili anashambulia vibaya sana! Ndio maana nilisema Mungu ni fundi! 
Pamoja na kumuumba nyoka huyu na Sumu kali mbio nyingi, hasira na urefu lakini nyoka huyu amejaaliwa huruma ndani yake ukikutana nae akianza kukuonyesha sarakasi zake kuwa mimi ndie nyoka hatari nawe Binaadam ukijishusha usikimbie wala ustupe jiwe ubaki unamuangalia tuu macho kwa macho! Unaambiwa atatuliza mzuka! Na wala hatakugusa ataingia zake mitini! 
"Unaona Muumba alivyo wa ajabu"!! 
Mamba anataga mayai kama kuku tuu kiota chake huwa ardhini...Jike anataga mayai 10-25 akishataga mayai yake huwa yanajiengua yenyewe baada ya miezi mitatu.
Joto ni muhimu kwaajili ya lncubation...na vitoto vyake vikisha jitotoa unaambiwa vinaanza mishe saa hiyohiyo hujitegemea kwa kilakitu! watoto wake wana sumu kali kama Mama yao yaani haina kuremba!!!
Nyoka huyu anaishi hadi miaka 11 porini... Akiwa anafugwa anaeza ishi hadi miaka 12...... 
 

Friday, November 18, 2016

Rais asaini maswada wa habari, dear Journalist get ready for whatever


MZEE WASIRA AKIKOKOTWA KUTOKA MAHAKAMANI LEO BAADA YA MH TUNDU LISSU , KUMPIGA MAKONDE MAZITO YA VIFUNGU VYA SHERIA WASIRA ALIJIKUTA ANAOMBA MKEKA ILI APUMZIKE KWANI LISSU ALIMALIZA NGUVU KABISA..

BULAYA AMGALAGAZA VIBAYA MZEE WASIRA


MBUNGE WA BUNDA ESTER BULAYA AKIPONGEZANA NA MWANASHERIA ANAEJUA SHERIA KULIKO WANASHERIA WOTE TANZANIA AMBAE PIA NI MWANASHERIA WA CHADEMA MH TUNDU LISSU BAADA YA KUMGALAGAZA VIBAYA MZEE WASIRA..

Ester Bulaya akimpongeza mwanasheria wake Mh. Tundu Lissu baada ya kushinda kesi ya kupinga ushindi wake wa Ubunge iliyofuliwa na wanachama wa CCmM dhidi ya wasira


picha ya katikati na chini wafuasi wa Bulaya wakishangilia ushindi

JPM AANGUSHWA TUZO ZA FORBES (POY) 2016.

JPM AANGUSHWA TUZO ZA FORBES (POY) 2016.


By Malisa GJ,

Rais John Pombe Magufuli ameangushwa katika kinyang'anyiro cha kuwania tuzo za Forbes Person of the Year 2016. Mshindi wa tuzo hizo aliyetangazwa usiku huu ni Bi.Thuli Madonsela, Mkurugenzi wa zamani wa mashtaka nchini Afrika Kusini. Katika tuzo hizo zilizokua na washindani watano, Thuli amewashinda marais wawili wa Afrika ambao ni Rais Magufuli na Rais Ameenah Gurib wa Mauritania.

Thuli ambaye kitaaluma ni mwanasheria anasifika kwa ujasiri wake wa kupambana na makosa mbalimbali hasa rushwa baina ya viongozi na watumishi wa umma. Aliteuliwa na Rais Jacob Zuma mwaka 2009 kuwa Mkurugenzi wa mashtaka nchini humo, nafasi aliyoitumikia hadi October 14 mwaka huu.

Miongoni mwa mambo yaliyompatia umaarufu Thuli ni pamoja na kuibua tuhuma mbalimbali zenye "public interest" ikiwemo skendo ya familia ya Gupta ya kuhonga serikali ili kujipatia nafasi za kisiasa na familia hiyo kumshinikiza Rais Zuma kuteua mawaziri wanaowataka. Kashfa hiyo ni maarufu kama "State of Capture"

Pia Thuli alisimama kidete kuhakikisha Rais Zuma anarudisha kiasi cha dola milioni 16 (takribani bilioni 35 za kitanzania) alizotumia kujenga jumba lake la kifahari huko KwaZulu-Natal. Kashfa hii inajulikana kama "Nkandla scandal"
 
 Thuli ni mama wa watoto wawili (wa kike aitwae Wenzile, na wa kiume aitwaye Mbusowabantu), ambao amewalea peke yake (single parenting) tangu mwaka 1980 mumewe alipofariki na kumuachia watoto hao wakiwa wadogo, huku yeue akiwa mama wa miaka 18 tu. Tangu wakati huo Thuli ameishi mjane kwa kipindi chote cha maisha yake akiwalea watoto hao peke yake.

Thuli Madonsela alizaliwa huko Mbabane Swazilaand mwaka 1962 na kuhitimu masomo yake ya sekondari katika shule ya Evelyn Baring High School. Baada ya kuhitimu alibakia shuleni hapo akiwa kama mwalimu msaidizi (Assistant teacher) na mwaka 1982 alihamia nchini Afrika kusini katika mji wa "makabwela" wa Soweto kutafuta maisha, ambapo aliajiriwa katika shule ya Naledi High School kama Mwalimu Msaidizi.

Baadae alirudi nchini Swaziland kujiendeleza kimasomo ambapo alihitimu shahada yake ya kwanza ya sheria (LLB) kutoka chuo kikuu cha Swaziland mwaka 1987, na kisha shahada ya uzamili ya Sheria (LLM) kutoka chuo kikuu cha Witwatersrand mwaka 1990. Thuli amewahi pia kutunukiwa Shahada ya heshima ya udaktari wa sheria LLD (Honoris causa) kutoka chuo kikuu cha Stellenbosch, na chuo kikuu cha Cape Town.
Thuli ana umri wa miaka 54, na alikuwa mwanachama wa chama tawala cha ANC hadi mwaka 2007 alipoamua kujiondoa kwenye siasa za vyama.

Wednesday, November 16, 2016

STEND YA MSAMVU MKOANI MOROGORO

stand ya kimataifa ya msamvu iliyopo mkoani morogoro imefuguliwa rasi



Add caption

SIRAHA HARAMU 5,250 ZACHOMWA MOTO KENYA

imetolewa na CRI Kiswahili

Kenya imechoma silaha haramu ndogondogo zipatazo 5,250 ambazo zimechukuliwa kutoka kwa wahalifu na nyingine kurejeshwa kwa hiari.
Hafla hiyo ya Jumanne imeongozwa na makamu wa Rais William Ruto na waziri wa usalama wa ndani Joseph Nkaissery katika eneo la Ngong




Friday, November 11, 2016

ALEPPO YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA CHAKULA NCHINI SYRIA



Sehemu za mashariki mwa Aleppo zakabiliwa na upungufu wa chakula

Mshauri maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya Syria Bw. Jan Egeland amesema majira ya baridi ya mwaka huu yatakuwa mabaya zaidi kwa Syria ambayo imekuwa kwenye mgogoro kwa miaka 5.
Sehemu za mashariki mwa Aleppo, mji ulioko kaskazini mwa nchi hiyo zinakabiliwa na hatari ya kukosa chakula baada ya chakula kilichopo kusambazwa.

Umoja wa mataifa umetoa mpango wa kuzipatia sehemu hizo msaada wa chakula na dawa. Pia ameongeza kuwa sehemu hiyo bado inagombewa na serikali ya rais Bashar na waasi. Kama pande zinazopambana zikikubali mpango huo, itachukua saa 72 kwa timu ya Umoja wa mataifa kuandaa operesheni za msaada na siku nyingine kadhaa kuzitekeleza.

Tangu mapambano yalipuke mwezi wa Machi mwaka 2011, hali katika sehemu mbalimbali za Syria zilizokumbwa na mapambano ni ya wasiwasi mkubwa. Katika mapigano ya miaka 5, watu zaidi ya laki 4 wamefariki na wengine wengi kuwa wakimbizi.

baadhi ya Majengo yakiwa yameharibiwa vibaya Mashariki mwa Aleppo nchini Syria

OPERESHENI ZA KIJESHI ZAPTEZA MAKAZI 45,000 IRAQ




Watu 45,000 wapoteza makazi kutokana na operesheni za kijeshi kaskazini mwa Iraq

Ofisi ya uratibu wa mambo ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema watu 3,300 wamepoteza makazi yao kuanzia Jumatano, na kuifanya jumla ya watu waliopoteza makazi tangu mwezi Oktoba operesheni za kijeshi zilipoanza mjini Mosul izidi elfu 45.

Msemaji wa Umoja wa Mataifa Bw. Stephane Dujarric amesema kwa idadi hiyo, kambi zilizopo zinatosha kwa sasa, lakini katika wiki zijazo inahitaji maeneo zaidi ya kujenga kambi na makazi ya dharura, ili kupokea wakimbizi zaidi wa ndani.

wananchi wa Iraq wakikimbia mapigano yanayoendelea Kaskazini mwa nchi hiyo

DONALD TRUMP IS PRESIDENT : IT HAS TO BE SAID!!




DONALD TRUMP IS PRESIDENT : IT HAS TO BE SAID!!

Credit : Wikipedia.com
What can I say, I'm lucky to count some very smart people amongst my friends. There I was thinking I'd have to wait until the weekend to post our analysis of the US Election results. Then I came across this marvelous and poignant analysis by none other than Ntheye Lungu, a good friend of mine from my Varsity days at the University of Cape Town.

I'm glad we're still getting into mischief, although its of a different more mature kind (I wont tell you what we got up to in Varsity...Thats classified!!

Anyway, peep this poignant piece Ntheye wrote to which we added a few relevant links including one to DW Griffith's classic 1915 silent film 'Birth of Nation' on the rise of the Ku Klax Klan which also works as a brilliant study of the American Psyche explaining why victories like Trump's are still possible in America today. We also briefly discuss and add links on Trump's plan to increase US Military spending, what it means for the US which has had a 'War Economy' since World War 2 and the rest of the World...Enjoy!!

The triumph of Donald Trump has brought to light an age old but tragic truth; the unquestioning nature of human beings makes us astoundingly vulnerable to the affliction of "collective stupidity." It would be funny if it wasn't so tragic!


During the course of the US presidential campaign we have sheepishly consumed all manner of propaganda spewed on 24 hour news cycles by a very dishonest mainstream media. Incredibly, we have soaked it all in and made it our truth, our gospel! We have certainly become the generation of "if I saw it on CNN or BBC, read it in The Economist or Time Magazine, then it must be true!" No questions asked!

We have allowed ourselves to place an inordinate -- and utterly undeserved -- trust in a very dishonest mainstream media to shape our opinions, thus rendering ourselves unwitting victims of a false narrative by which we judge personalities and react to events. As a matter of fact, and until the advent of social media, we were mere consumers of a storyline dictated and, tragically, successfully thrust upon from editorial rooms.

A few so-called journalists had the singular privilege of deciding on our behalf on what is newsworthy; which personalities to adore or loath; what catastrophes -- natural and man made -- to pour our hearts towards or ignore... All of it has been decided on our behalf and we have readily and unquestioningly taken it all in, arms and perhaps legs too, akimbo!

The truth is, the only thing that separated Hillary Clinton and Donald Trump -- and therefore the pervasive opinions most people around the world have of either -- is the well crafted narrative the dishonest mainstream media has decided on our behalf. The soundbites of bigotry, racism, misogyny from Donald Trump have been on nonstop 24 hour news cycles, whilst equally deplorable soundbites from Hillary Clinton have been well concealed ...deliberately buried and kept away from a complaint consumer of propaganda. Trump's bigoted portrayal of Mexicans would have found a fair balance had they been reported along with Clinton's description of African Americans as "super predators who should be brought to heel..." But no, not in this election cycle.

While Donald Trump was presented as a warmonger the world needs to be fearful of (and he may well turnout to be), the truth about Hillary Clinton was never sufficiently reported -- her legacy includes two unnecessary wars in Libya and Syria triggered purely for her own political point scoring, and sadly both of these wars persist to this day and continue to claim countless innocent victims. Isn't it intriguing that in the same news cycle, the carnage in Aleppo could be reported back-to-back with the US presidential election campaign, yet the genesis of the war in Syria was never quite explored and thus no connection made to Clinton's possible culpability in it. How mankind continues to be so gullible in the 21st century -- the age of information -- should be a source of tremendous trepidation for us all.

The age of information, unfortunately, has not inoculated us from the nefarious machinations of those who hold the levers of information -- and during this election campaign, social media was no different in levels of dishonesty as that exhibited by the mainstream media. Google, Twitter and Facebook were all demonstrably culpable in creating a false narrative for either candidate.

On one hand helping reinforce the dishonest mainstream media narrative of a dangerous and bigoted Trump (incidentally a Clinton campaign strategy), as much as presenting Hillary Clinton as the most qualified and faultless candidate to ever contest an election since the advent of elections themselves.

Twitter and Facebook seemingly and deliberately buried positive trending topics that were in favor of Trump, while promoting those in favor of Clinton. I happened to be privy to the artificial tinkering of trends on both Twitter and Facebook given the criticality of tracking these to mine for sentiment for my social media engagement model (a pet project I have used to now correctly predict the outcomes of both Brexit and the Trump victory). Twitter would go as far as nixing a trend and replacing it with another, even against actual popularity, or changing spelling of a hashtag. It was an astounding yet very disturbing realization for me. But the wind of change in both instances was too strong to conceal -- I imagine much to the chagrin of the proprietors of both the dishonest mainstream media and the rigged social media platforms.

What I find disturbing is how the unquestioning populace readily accept one brand of propaganda, but express displeasure at another form. For example, when Paris was attacked by terrorists last November, French flags to add to profile pics and the #prayForFrance hashtag were drummed into our collective psych to reinforce to depth of the tragedy. Indeed we changed our profile pics to French flags. By contrast, neither the deadly floods in Ghana or the devastation of hurricane Matthew in Haiti this year -- both extremely tragic events -- seemed worthy of elevation by both the dishonest mainstream media and the rigged social media platforms. Not to compare tragedies, but surely the Paris terror attacks deserved as much attention as the tragedies in both Ghana and Haiti.

That the dishonest media are purveyors of propaganda is an incontrovertible truth (as amply demonstrated by the poverty of media coverage or interest on Ghana and Haiti). Such visible display, surely, should serve to engender our questioning spirits.

Yet it doesn't. How can we be suspicious and outraged -- rightly so -- of the realities of skewed reporting on global events in one region versus in another, yet be unquestioning as to how presidential candidates are presented to us by these same very dishonest media platforms? Why do we never ask why certain personalities are presented for our adoration and others for our loathe? Why do we not question the intent of the information we consume, electing instead to readily believe what we are fed and treating it as gospel?

Why do we hate Trump and love Clinton? Why are we sure the media has given us fair and balanced information on either of these two -- not through soundbites -- to allow us to make our own informed decisions? Why are we not suspicious of the intentions of editorial rooms in possibly making decisions on our behalf on what or who to love or hate?

It is to help humanity regain its consciousness and its innate questioning nature that we should thank Julian Assange and Wikileaks. Hopefully, he has helped revive investigative journalism that allows us to make up our own minds based on unfiltered and unadulterated information.

What more can you say? At the end of the day, Trump played on the average American's fear...Fear of Immigrants, fear of instability post the 2008 Recession, fear of losing America's 'prestige' in the global world order...etc...The list of American 'fears' is endless as the American mainstream media continues to bombard the average American with misleading and inflated opinions on almost everything except consumer products.

It is this collective fear and anxiety that characterised America at the end of its Civil War and led to the rise of the KKK. The Film 'Birth of a Nation' is a classic, and it really captures how the average American possesses a victim mentality that the Ruling Right Wing elite deliberately conjures and sustains in order to maintain power. It was made in 1915 so its a silent Black & White movie, but trust us, reading the sub-titles which make up all the dialogue will be worth your while. Its very good at portraying how American's see themselves....As victims.

The other issue of concern is that Trump has made it clear that he will ramp up US Military spending thereby bolstering and continuing the same 'War Economy' America has had since World War 2. Briefly stated a 'War Economy' is defined as the set of contingencies undertaken by a modern state to mobilize its economy for war production. Philippe Le Billon describes a war economy as a "system of producing, mobilizing and allocating resources to sustain the violence."...So Trump plans on sustaining American violence...There you have it! Nothing could make it more clear that nothing's going to change in America with Trump's election.

We also included links on the history of America's post World War 2 'War Economy', Trump's plan to increase Military spending as well as what his election means for the World Economic and Politcal Order.

Peep the links below, and our last article in the "Gnosis : Ancient Mysteries" series is coming shortly. We're pleased to say its also a guest contribution from one of the members of our community ....I'm loving these around the fire conversations we're having @ The Lounge.

Lets huddle and like JR said 'Make the circle bigger...One!

Birth of a Nation Film : https://www.youtube.com/watch?v=I3kmVgQHIEY

American War Economy Article: https://www.marxists.org/…/macdonald/1941/04/war-economy.htm

Trump's Plan to increase Military spending: http://edition.cnn.com/…/donald-trump-defense-spending-seq…/

Effect of Trump Election on International Order: http://www.nytimes.com/…/donald-trumps-victory-promises-to-…

JR Song Video : 'Make the Circle Bigger' : https://www.youtube.com/watch?v=XM_Ew6zsnDY

https://www.youtube.com/watch?v=I3kmVgQHIEY 

Tangulia Spika wa Watu (People's Speaker)



Tangulia Spika wa Watu (People's Speaker)

Hotuba ya Kiongozi wa ACT Wazalendo katika Kikao Maalumu cha Bunge cha Mazishi ya Spika Mstaafu, Samwel John Sitta


Ndugu Spika,
Ndugu Wabunge,
Mama Magreth Sitta,
Watoto wote wa Mzee Samwel John Sitta, Ndugu, Jamaa na Marafiki,
Ndugu zangu Watanzania,

Leo kikao maalumu cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Mkutano wake wa Tano kinamuaga mtoto wa Mzee John Sitta na Hajjat Zuwena Said Fundikira. Nami nimepewa nafasi niseme maneno machache kuhusu mzee wetu huyu tunayemuaga.

John Samwel Sitta anayo mengi, lakini Tanzania itamkumbuka kama mtu aliyejaribu kuboresha kila alichokabidhiwa kama jukumu, shujaa wa wote wanaoamini katika Uwajibikaji wa kitaasisi, Mwanasiasa aliyepanda na kushuka na kisha kupanda na kubakia kileleni, taswira ya mkoa wake wa Tabora, sio tu mdhamini wa klabu ya Simba, bali pia Mwanasimba aliyeipeleka klabu Brazil na kuwezesha kuifunga Yanga mabao mengi zaidi ambayo hayajapata kulipwa na wapinzani wetu hata kwa kuungakuunga, Mwanamageuzi wa Bunge na Spika wa mioyo ya Watanzania.

Hata katika kifo chake, Samwel John Sitta ameweka rekodi nyengine - kwa Bunge kufanya kikao maalumu kuenzi mmoja wa wajumbe wake mahiri kati ya mwaka 1975 - 2015 isipokuwa tu kwa kipindi cha 1995 - 2005. Rekodi hii itaendelea kwa wengine wote watakaofuata baada yake.

Ni mtu wa namna gani wewe Samwel Sitta? Spika wa Kasi na Viwango, unayeweka rekodi hata ukiwa umelala ndani ya Jeneza lako lililopambwa na Bendera ya Taifa letu ukielekea nyumbani kwako Urambo kwenye nyumba yako ya milele. Ulikuwa hushindwi ukiwa hai, umeonyesha umahiri wako hata ukiwa kwenye umauti. Kweli wewe ni Spika wa Watu (The People's Speaker).

Tuliokupenda tunajua. Ulikuwa Baba mlezi. Ulikuwa Mume mwema. Ulikuwa Babu. Ulikuwa Kiongozi. Nadhani hata kwa uliokwaruzana nao hapa na pale wanajua hilo. Leo sote tuna majonzi makubwa. Umeliunganisha Taifa katika kukukumbuka ewe Spika wa Watu.

Ulikuwa na vyeo vingi; Mbunge, Naibu Waziri, Waziri, Mkuu wa Mkoa, Waziri tena, Mkurugenzi Mtendaji, Spika, Waziri tena na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Lakini, wala, tunakuita Spika Sitta tu. Kwanini? Kwa sababu 'Legacy' yako ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Sio kwamba umeanzisha Bunge wewe, la hasha. Lakini ulipopokea Uspika wa Bunge letu mwaka 2005, kama ilivyo jadi yako, uliliboresha, uliwezesha kutunga kanuni mpya, uliimarisha Mhimili huu na kuuweka katika nafasi yake ya Kikatiba.

Nakumbuka siku moja ulimwomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aongee na baadhi yetu, ilikuwa mwaka 2006. Mimi nikiwa nina miaka 29 tu. Tukakutana na Rais ukumbi wa Msekwa. Baada ya kikao kilichofanikiwa kumshawishi Rais kuhusu mabadiliko uliyoyataka uliniambia;

"Babu, mimi sasa alasiri, ninyi ndio saa nne asubuhi. Nawawekea misingi tu na kuliweka Bunge katika nafasi yake ya kikatiba".

Kilichofuata ni mabadiliko makubwa ya Kanuni za Bunge, kuandikwa upya kwa Sheria ya Bunge (National Assembly Administration Act, 2008) na kuanzishwa kwa Mfuko wa Maendeleo ya Majimbo, Constituencies Development Catalyst Fund (CDCF).

Samwel Sitta, bado tunasikia mwangwi wa sauti yako nene kutoka kwenye kiti cha Spika ukiwataka Mawaziri wajibu maswali kwa ufasaha. Hukuisahau Tabora yako. Damu ya kichifu wa Unyanyembe ya Fundikira kutoka mama yako Zuwena ilikusambaa kwenye mishipa yako. Ukiona kuna swali linalohusu mkoa wako wa Tabora hukusita kuwaambia Mawaziri wajibu vizuri (haswa kuhusu barabara), au ukiamsha jeshi lako (akina Lucas Lumambo Selelii nk) wakisema "mheshimiwa Spika, wewe leo ukipata dharura Urambo unafikaje!". Yote hiyo kutilia nguvu umuhimu wa maendeleo ya mkoa wako.

Wewe ni kielelezo cha Demokrasia ya Vyama vingi bungeni. Ulitoa nafasi kwa wabunge wote wa kambi zote ndani ya Bunge. Hatusemi hukubagua, la hasha, uCCM wako ulikuwa pale pale. Lakini walio wengi walishinda na walio wachache walisikika. Ndio Demokrasia hiyo.

Sitta ulikuwa Muungwana. Nakumbuka siku ile unamwomba radhi Mzee John Momose Cheyo katika kamati ya Uongozi (baada ya kuwa ulimtoa kwa makosa bungeni), eti msongo wa mawazo ulikujaa kwani watu wanapitapita Jimboni. Lakini uliwashinda. Unyenyekevu wako wa kuomba radhi unapokosea ni somo kubwa sana kwa Viongozi wengine tuliobakia.

Wabunge wenzangu, tunataka kumuenzi Spika wa Watu - Samwel John Sitta? Basi hakuna kumuenzi bora zaidi kama kuimarisha uhuru na heshima ya Bunge letu.

Tuendeleze Jahazi.

Samwel Sitta anakwenda kwenye nyumba yake ya milele akiongozwa na imani yake kubwa kwa Mungu na uzalendo wake usio na mawaa kwa nchi yake Tanzania. Angalau bado ataendelea kuwa nasi kwa kutuachia mafundisho makubwa kutokana na Maisha yake, mambo mema aliyoyafanya kwa nchi yetu, ndoto aliyoiishi ya Tanzania imara na yenye heshima, na malezi kwa viongozi wengi vijana aliowafunda na kuwalea kiuongozi.

Ni dhahiri umeishi maisha yako Babu. Kama isemavyo biblia, 2 Timotheo 4:7 "Nimepigana Vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda".

Tangulia Spika wa Watu (The People's Speaker) Samwel John Sitta.

Mola akulaze pema.


Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Novemba 11, 2016
Dodoma

KESI YA LEMA YAENDELEA

jionee mwenyewe
 https://www.facebook.com/ChademaInBlood/videos/811760188965474/

MAANDAMANO YA KUMPINGA TRUMP YAPAMBA MOTO

trump Rais wa system sio Majority 
check this link
https://www.facebook.com/NowThisNews/videos/1220631778026944/

LUCKY DUBE: Kutoka mtunza bustani hadi mkali wa reggae


LUCKY DUBE: Kutoka mtunza bustani hadi mkali wa reggae



LUCKY Dube si jina geni miongoni mwa wapenzi wa muziki duniani kote ambapo pamoja na ukweli kwamba kwa sasa hayupo nasi baada ya kufariki Dunia Oktoba 18, 2007, lakini hadi sasa kazi zake za muziki wa reggae zimekuwa zikitamba, zikiimbwa katika mikusanyiko mbalimbali, zikiwamo kumbi za starehe.

Kati ya mambo yanazozifanya kazi zake kuendelea ‘kuishi’, ni ujumbe uliomo ambao wakati mwingine umekuwa ukiliwadha kama si kufariji pale yeyote alipokuwa na majonzi, lakini pia midundo yake ikiwa ni burudani tosha.

Unapopita katika mitaa mbalimbali jijini Dar es Salaam na kwingineko nchini, Afrika na hata Ulaya na Amerika, huwezi kumaliza siku mbili bila kusikia wimbo wa Lucky Dube au bango lenye picha au ujumbe uliomo katika moja ya kazi zake.

Miongoni mwa nyimbo za mkali huyo zilizowahi kutamba na zikiendelea kufanya hivyo hadi sasa, ni Big Boys Don’t Cry, Born To Suffer, Release Me, Ratas Never Die, The Other Side, Trinity, War And Crime, Love Me, Truth In The World, Different Colours, Together As One, Back To My Roots, I Want To Know Whats Love Is, Prisoner, It’s Not Easy, I’ve Got You Baby, Remember Me, House Of Exile na nyinginezo nyingi.

Lucky Dube ni nani?

Lucky Philip Dube ni mkali wa muziki wa reggae wa Afrika Kusini aliyezaliwa Agosti 3, mwaka 1964 katika Mji wa Ermelo, zamani ukijulikana kama Eastern Transvaal, kwa sasa Mpumalanga, kabla ya kukutwa na mauti jioni ya Oktoba 18, 2007 kwa kushambuliwa kwa kupigwa risasi jijini Johannesburg katika eneo la Rosettenville.

Akiwa kama Rastafarian, kabla ya kukutwa na mauti, alifanikiwa kurekodi albamu 22 katika ludha za Kizulu, Kiingereza na Kiafrikana ndani ya miaka yake 25 na ndiye aliyekuwa mwanamuziki aliyeuza zaidi kazi zake za muziki nchini humo.

Wazazi wake walitengana kabla ya kuzaliwa kwake ambapo alilelewa na mama yake pekee aliyempa jina la Lucky akimaanisha kuwa kuzaliwa kwake kulikuwa kwa bahati baada ya mimba zake kadhaa kuharibika.

Akiwa na ndugu zake wawili, Thandi na Patrick, Dube alitumia muda wake mwingine wa utotoni akiwa na bibi yake, Sarah, wakati mama yake akiwa kazini. Mwaka 1999 alifanya mahojiano na kumwelezea bibi yake huyo kama ‘mtu anayempenda zaidi’ ambaye “alifanya mambo mengi kuniwezesha kuwa kama nilivyo leo.”

Alivyoanza muziki

Akiwa mtoto, Dube alikuwa akifanya kazi ya kutunza bustani lakini kadri alivyokua, alibaini kuwa hakuwa akipata fedha za kutosha kuilisha familia yake, hapo ndipo alipoamua kwenda shule.

Alipokuwa shule, alijiunga na kwaya, akiwa pamoja na baadhi ya rafiki zake, na kuunda kundi lake la kwanza la muziki, lililoitwa The Skyway Band.

Akiwa shuleni, alibaini harakati za Rastafari. Akiwa na umri wa miaka 18, Dube aliungana na bendi ya binamu yake, The Love Brothers, iliyokuwa ikicheza muziki wa aina ya pop ya Kizulu iliyojulikana kama mbaqanga, huku akiendesha maisha yake kwa kufanya kazi katika kampuni ya Hole and Cooke akiwa kama mlinzi katika moja ya yadi za magari iliyopo Midrand.
Bendi hiyo ilisaini mkataba na kampuni ya kurekodi muziki iliyofahamika kama Teal Record Company, iliyokuwa chini ya Richard Siluma (Teal baadaye ilishirikiana na kampuni ya Gallo Record).

Japo Dube alikuwa bado yupo shule, bendi hiyo ilikuwa ikirekodi kazi zao jijini Johannesburg wakati shule zikiwa zimefungwa. Matokeo yake albamu zilitolewa chini ya jina la Lucky Dube na Supersoul. Albamu ya pili ilitolewa muda mfupi baadaye, na safari hii Dube aliandika baadhi ya mashairi pamoja na kuimba. Ulikuwa ni wakati huu ambao alianza kujifunza Kiingereza.

Kuhamia kwenye reggae

Katika albamu yao ya tano ya Mbaqanga, Dave Segal (ambaye baadaye alikuja kuwa mhandisi wa sauti wa Dube) alijiunga naye na kutao kitu kilichokwenda kwa jina la ‘Supersoul’. Albamu zote hizo zilirekodiwa kwa jina la Lucky Dube.

Kwa wakati huo, Dube alianza kujikusanyia mashabiki ambao walikuwa wakimuunga mno mkono na kuvutiwa naye, hasa kutokana na umahiri wake katika kuimba nyimbo za reggae wakati wa matamasha ya moja kwa moja ‘live’.

Akiwa amepata hamasa kutoka kwa wakali wa reggae Jimmy Cliff na Peter Tosh, alianza kuachana na muziki wake wa awali na kuhamia ule wa reggae ya asili ya kijamaica ambao ulikuwa umejizoea umaarufu mno nchini Afrika Kusini kwa wakati huo.

Aliamua kujaribu kujikita moja kwa moja kwenye muziki huo na mwaka 1984, alitoa albamu aliyoipa jina la Rastas Never Die. Rekodi hiyo haikuza sana ambapo ilikuwa ni nakala 4000 tu ukilinganisha na nakala 30,000 za albamu ya mbaqanga.

Albamu yake hiyo iliyokuwa ikihamasisha harakati za kupinga ubaguzi wa rangi, ilifungiwa mwaka 1985, kwasababu ya baaadhi ya mashairi yake tata, mfano katika wimbo wa ‘War and Crime’.

Hatahivyo, hakukata tama na kuendelea kufanya muziki wa reggae moja kwa moja (live) katika majukwaa mbalimbali ambapo mwisho wa siku, aliachia albamu yake ay pili ya reggae.

‘Think About The Children’ ya mwaka 1985 ambayo ilipata mafanikio makubwa kwa kuuza nakala lukuki na kumtambulisha Dube kama msanii maarufu wa reggae nchini Afrika Kusini ambapo alivutia mashabiki lukuki hata nje ya nchi yake, ikiwamo hapa Tanzania
 

MFAHAMU ZAID JAY Z MKALI WA HIP HOP ASIYEMZIMIA TRUMP



LOS ANGELES, Marekani

Ni mmoja kati ya wanamuziki wenye mafanikio makubwa nchini Marekani. Mbali na kujishughulisha na muziki wa hip hop, pia Jay-Z ni mfanyabiashara na mwekezaji mkubwa nchini humo.

Supastaa huyo ni mume wa mlimbwende Beyonce Knowless na wawili hao wamebahatika kuzaa mtoto mmoja wa kiume aitwaye Blue Ivy Carter.

Mwaka 2006, mkali huyo alitajwa na MTV kuwa ndiye anayeshika namba moja kwenye renki za wanamuziki bora wa muda wote.

Moja kati ya albamu zake zilizojizolea umaarufu mkubwa ni ‘Reasonable Doubt’ aliyoiachia mwaka 1996, ‘The Blueprint’ ya mwaka 2001 na ‘The Black Album’ iliyofuata miaka miwili baadaye.

Mbali na hayo hivi karibuni alitamka wazi kuwa asingempigia kura Donald Trump ambaye hata hivyo ndiye aliyeibuka kidedea kwenye kinyang’anyiro cha urais nchini Marekani.

Jay-Z ni miongoni mwa watu wa mwisho kuzungumza na marehemu Notorious B.I.G kabla ya staa mwenzake huyo kupigwa risasi. Itakumbukwa kuwa B.I.G aliuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana jijini Las Vegas. Tukio hilo lilitokea mwaka 1997 wakati alipokuwa akitoka katika moja ya ‘party’.
Baba mzazi wa Jay-Z, Adnes Reeves, alifariki siku ambayo mwanamuziki huyo alipokuwa akisimamia shughuli za ufunguzi wa ukumbi wake wa usiku ‘night club’.

3. Tofauti na wasanii wengine, Jay-Z hana kawaida ya kuandika mistari kwenye daftari, anatunga kwa kichwa alafu anaingia zake studio kuiachia ngoma. Moja ya ngoma ambayo hakushika kalamu kuiandaa ni ile ya mkewe Beyonce iitwayo ‘Drunken Love’.

Wakiwa nyumbani, Beyonce alikuwa akiifanyia mazoezi ngoma hiyo kabla ya kwenda kuingiza ‘voko’ na hapo ndipo Jay-Z alipoanza kuingiza mistari na baadaye wakaenda zao studio.

4. Jay-Z anatajwa kuwa na utajiri wa Dola za Marekani milioni 550 na mpaka sasa ana tuzo 17 za Grammy. Mbali na muziki, nyota huyo anaingiza kiasi kikubwa cha fedha kutokana na biashara zake za mavazi na ‘dili’ za matangazo.

5. Mwaka 2005, mtoto wa dada yake aliyekuwa akifahamika kwa jina la Colleek D. Luckie, alifariki kwa ajali ya gari alilopewa na Jay-Z kama zawadi yake ya kuhitimu masomo ya chuo.

Jay-Z ni mmoja wa wamiliki wa timu ya mpira wa kikapu ya Brooklyn Nets. Ameshawahi kukiri kuwa anaipenda timu hiyo inayoshiriki NBA kuliko kitu chochote.
7. Kutokana na umaarufu na mafanikio yake, miaka kadhaa iliyopita, Chuo Kikuu cha Georgetown kilianzisha kozi maalumu inayomhusu Jay-Z. Kwa mara ya kwanza, kozi hiyo iliyopachikwa jina la ‘Sociology of Hip-Hop: Jay Z’ na ilianza na wanafunzi 40. Kozi hiyo inafundishwa na Profesa Michael Eric Dyson. Jina alilopewa na wazazi wake ni Shawn Corey Carterm lakini alijiita Jay Z kutokana na kuvutiwa na aliyekuwa prodyuza wake, Jay-O. Imeelezwa kuwa mbali na kutengeneza midundo ‘beats’, Jay-O alikuwa mkali wa kutunga na kurap, hivyo Jay-Z alikuwa mmoja kati ya mashabiki wakubwa wa mshikaji huyo.
‘Birthday’ ya mshikaji huyo ni Desemba 4 kila mwaka, kwani alizaliwa siku hiyo ila mwaka 1969. Kila inapofika sherehe ya kuzaliwa kwake, Jay-Z huwa na kawaida ya kuangusha bonge la ‘party’ na wakati alipokuwa akisherehekea kutimiza umri wa miaka 45, alitumia Dola za Marekani milioni 3 kujiachia na washkaji akiwemo rafiki yake wa muda mrefu, Snoop Dog, ambaye hivi sasa anajiita Snoop Lion.
Tofauti na watu wengine tunaopenda umaarufu, wala Jay-Z hakutaka kuwa staa. Akilizungumzia hilo alipokuwa akihojiwa na Shirikika la Habari la Uingereza (BBC), alisema: “Sikutaka kuwa staa. Nia yangu ilikuwa ni kuelezea stori na kuzungumza ukweli
Jay Z katika pozi
 

MAZISHI YA ALIYEKUWA MBUNGE WA DAMANI MAREHEMU HAFIDHI ALI TAHIR

VIDEO: Msikilize hapa Kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni Freeman Mbowe alivyozungumza wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Dimani marehemu Hafidh Ali tahir, katika viwanja vya bunge mjini
https://www.facebook.com/MwananchiNews/videos/10154712902224339/

VIONGOZI CHADEMA WAZUIWA KUINGA MAHAKAMANI ARUSHA

#UpdatesLema
kama anavyoripoti Ally Bananga.

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu amezuiwa kuingia mahakamani. Meya wa jiji la Arusha Kalisti Lazaro nae pia amezuiwa kuingia Mahakamani licha ya kuwa kwenye gari ya serikali. Lakini baada ya kelele za makamanda waliokua Mahakamani hapo hatimaye Mstahiki Meya ameruhusiwa kuingia.

Wakili wa serikali anasema Lema asipewe dhamana kwa kuwa alisema Rais atakufa kwa hiyo akitoka ataweza kuufanikisha mpango huo. Lakini pia anasema mke wa Rais ni mgonjwa kwa sasa na inawezekana ndio sehemu ya maono ya Lema kuidhuru familia ya Rais. Ameongeza kuwa Lema akiachiwa ataendeleza uchochezi na kwamba kubaki kwake ndani ni kwa usalama wa kwake na taifa.
Kesi inaendelea kusikilizwa na Hakimu Kamugisha, na inategemewa haki itatendeka na Lema kupewa dhamana. Tuendelee kusubiri.!
#BinamuBananga
#MahakamaniArusha.!

baadhi ya viongozi wa CADEMA wakiwa nje ya Mahakama ya Arusha baada ya kuzuiwa kuingia

KESI YA LEMA YAZIDI KUSHIKA KASI


Hakimu amekataa hoja dhaifu za upande wa Jamhuri za kumnyima Lema dhamana.
Hakimu: sheria ya jinai kifungu 148(c) mshtakiwa atanyimwa dhamana kama angekiuka masharti ya dhamana au kukimbia. Na kuna vifungu vya lazima kwamba mshtakiwa anapaswa kusurender passport au hati za kusafiria au Mahakama ikarestrict maeneo ya kutembelea mfano eneo la kijiji n.k
Jamhuri: Mheshimiwa Hakimu mikutano ya kisiasa hairuhusiwi kwa sasa lakini Lema alifanya.
Hakimu: Mahakama hii wala mahakama ya juu yake haikutoa masharti kuwa mshtakiwa asifanye kosa wala hakuzuiliwa kufanya Mikutano ya hadhara.
Jamhuri: Mheshimiwa Hakimu Lema anapaswa kunyinwa dhamana mwa usalama wa Rais na usalama wake pia?
Hakimu: Kwamba mshtakiwa asipewe dhamana kwa usalama wake what are the tests?? Sio tu kusema ni kwa usalama wake sheria inataka useme kwa hakika kuwa ni lazima. Na hiyo test sio hoja yangu ni test ya High Court ref case ya Athuman Mahumba V/S Jamhuri.
(Mawakili wa Jamhuri wanaangaliana).!
#BinamuBananga
#MahakamaniArusha.!

Mh. Godbless Lema akiwa kwenye harakati za kisiasa

KWANINI SUMATRA IMEFUTA ROUTE ZA POSTA MBEZI KWA DALADALA ZA KAWAIDA?

anaandika Malisa GJ
Sasa hivi kama unatoka Posta kwenda Mbezi hakuna daladala zaidi ya Mabasi yaendayo kasi. Utakwenda nayo ukifika Kimara safari inaisha, unapanda daladala za kawaida kutoka Kimara kwenda Mbezi. Nasikia serikali imefanya hivi ili kuondoa ushindani kwa mabasi yaendayo kasi. Yani waachiwe wenyewe wadominate njia maana walianza kupoteza wateja na hivyo kujiendesha kwa hasara.
Kama ni kweli hii si haki kabisa kwa walalahoi ambao usafiri wao mkubwa ni daladala. Wale wenye magari binafsi watapata ahueni kwa kupunguziwa foleni ya daladala, lakini walalahoi wataumia sana.
Kwa mfano mlalahoi wa Mbezi alikua akitaka kwenda Kariakoo anapanda gari moja (TZS 400/=). Lakini sasa hivi atalazimika kupanda magari mawili. Atapanda Mbezi Kimara 400/= kisha atapanda mwendokasi Kimara Kariakoo 650/=. So badala ya kufika Kariakoo kwa 500/= kama zamani, saivi atafika kwa 1,050/=. Ongezeko la 650/=.
Ngoja nikupe mfano wa pili. Mlalahoi wa Mbezi ambaye ndugu yake amelazwa Muhimbili alikua anapanda gari moja tu kwa 400/= hadi Muhimbili kwenda kumuuguza ndugu yake. Lakini kwa utaratibu mpya wa sasa atalazimika kupanda gari 3. Moja la kutoka Mbezi Kimara 400/=, kisha apande Mwendokasi Kimara Posta 650/= ashuke Fire. Halafu asubirie magari ya Muhimbili yatokayo Buguruni au Temeke apande kwa 400/=. Jumla 1,450/=. Ongezeko la 1,050/=.
Gharama hizi za nauli zinapanda wakati hali ya uchumi ikizidi kudorora. Yani mtu aliyekua anaenda Muhimbili kwa TZS 400/= sasa hivi anakwenda kwa TZS 1,450/=. Wakati huo anamuuguza ndugu yake, na yupo mtaani mwaka wa pili hana ajira maana serikali imezuia kuajiri kwa muda.
Nadhani serikali ina haja ya kutizama upya jambo hili. Kazi ya serikali ni kuboresha maisha ya wananchi, na sio kuyafanya yazidi kuwa magumu.!