MATUMIZI YA SADAKA ZENU
Wachungaji Uchwara! Takribani magazeti yote ya leo Yameamka na Lusekelo " Mzee wa Upako" juu ya kukamatwa na jeshi la polisi. Hiki ni kituko alichokifanya na kupelekea kukamatwa kwake. Aliziba njia kwa kupaki gari barabarani na kuwatolea maneno machafu majirani( ulevi noma)https://www.facebook.com/100008744220984/videos/1623749974593128/
No comments:
Post a Comment