Hakimu: sheria ya jinai kifungu 148(c) mshtakiwa atanyimwa dhamana kama
angekiuka masharti ya dhamana au kukimbia. Na kuna vifungu vya lazima
kwamba mshtakiwa anapaswa kusurender passport au hati za kusafiria au
Mahakama ikarestrict maeneo ya kutembelea mfano eneo la kijiji n.k
Jamhuri: Mheshimiwa Hakimu mikutano ya kisiasa hairuhusiwi kwa sasa lakini Lema alifanya.
Hakimu: Mahakama hii wala mahakama ya juu yake haikutoa masharti kuwa
mshtakiwa asifanye kosa wala hakuzuiliwa kufanya Mikutano ya hadhara.
Jamhuri: Mheshimiwa Hakimu Lema anapaswa kunyinwa dhamana mwa usalama wa Rais na usalama wake pia?
Hakimu: Kwamba mshtakiwa asipewe dhamana kwa usalama wake what are the
tests?? Sio tu kusema ni kwa usalama wake sheria inataka useme kwa
hakika kuwa ni lazima. Na hiyo test sio hoja yangu ni test ya High Court
ref case ya Athuman Mahumba V/S Jamhuri.
(Mawakili wa Jamhuri wanaangaliana).!
#BinamuBananga#MahakamaniArusha.!
![]() |
Mh. Godbless Lema akiwa kwenye harakati za kisiasa |
No comments:
Post a Comment