MBUNGE WA BUNDA ESTER BULAYA AKIPONGEZANA NA MWANASHERIA ANAEJUA SHERIA KULIKO WANASHERIA WOTE TANZANIA AMBAE PIA NI MWANASHERIA WA CHADEMA MH TUNDU LISSU BAADA YA KUMGALAGAZA VIBAYA MZEE WASIRA..
![]() |
Ester Bulaya akimpongeza mwanasheria wake Mh. Tundu Lissu baada ya kushinda kesi ya kupinga ushindi wake wa Ubunge iliyofuliwa na wanachama wa CCmM dhidi ya wasira |
![]() |
picha ya katikati na chini wafuasi wa Bulaya wakishangilia ushindi |
No comments:
Post a Comment