Friday, November 18, 2016

BULAYA AMGALAGAZA VIBAYA MZEE WASIRA


MBUNGE WA BUNDA ESTER BULAYA AKIPONGEZANA NA MWANASHERIA ANAEJUA SHERIA KULIKO WANASHERIA WOTE TANZANIA AMBAE PIA NI MWANASHERIA WA CHADEMA MH TUNDU LISSU BAADA YA KUMGALAGAZA VIBAYA MZEE WASIRA..

Ester Bulaya akimpongeza mwanasheria wake Mh. Tundu Lissu baada ya kushinda kesi ya kupinga ushindi wake wa Ubunge iliyofuliwa na wanachama wa CCmM dhidi ya wasira


picha ya katikati na chini wafuasi wa Bulaya wakishangilia ushindi

No comments:

Post a Comment