Saturday, November 26, 2016

R.I.P FIDEL CASTRO


R.I.P FIDEL CASTRO

Rais wa zamani wa Cuba na kiongozi wa chama cha Kikomunisti Fidel Castro Ruz amefariki dunia akiwa na miaka 90.

Kupitia runinga Rais wa sasa wa nchi hiyo ambaye pia ni mdogo wake Raul Castro Ruz amethibitisha kifo cha kaka yake.

The late Fidel Castro Ruz

1 comment: